• HABARI MPYA

    Wednesday, March 16, 2016

    MAN CITY YATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA

    Mshambuliaji wa Manchester City, Jesus Navas akiinua mguu juu kugombea mpira na beki wa Dynamo Kiev, Vitaliy Buyalsky katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na Man City inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa 3-1 iliyopata kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZADI GONGA HAPA


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top