Mshambuliaji wa Manchester City, Jesus Navas akiinua mguu juu kugombea mpira na beki wa Dynamo Kiev, Vitaliy Buyalsky katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na Man City inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa 3-1 iliyopata kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZADI GONGA HAPA
Marcus Rashford offers worrying update as he speaks out over 'months and
months of abuse' after being booed by Man United fans - as supporters pin
the blame on YouTuber's rants
-
Marcus Rashford (left) has endured a difficult season on the pitch, failing
to match the achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign,
scor...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment