Beki wa kulia wa Atletico Madrid, Juanfran akishangilia baada ya kuifungia penalti ya ushindi timu yake ikishinda kwa penalti 8-7 dhidi ya PSV Eindhoven usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid katika mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo baada ya sare ya 0-0 kwenye mechi zote mbii nyumbani na ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Kerr: 'A Lot of Value' in Keeping Steph, Klay, Draymond Together
'For Life'
-
After the Golden State Warriors' season-ending play-in tournament loss to
the Sacramento Kings on Tuesday, head coach Steve Kerr expressed the
importance of…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment