• HABARI MPYA

    Wednesday, March 16, 2016

    ATLETICO MADRID YAPENYA KWA MATUTA

    Beki wa kulia wa Atletico Madrid, Juanfran akishangilia baada ya kuifungia penalti ya ushindi timu yake ikishinda kwa penalti 8-7 dhidi ya PSV Eindhoven usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid katika mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo baada ya sare ya 0-0 kwenye mechi zote mbii nyumbani na ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ATLETICO MADRID YAPENYA KWA MATUTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top