Beki wa kulia wa Atletico Madrid, Juanfran akishangilia baada ya kuifungia penalti ya ushindi timu yake ikishinda kwa penalti 8-7 dhidi ya PSV Eindhoven usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid katika mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo baada ya sare ya 0-0 kwenye mechi zote mbii nyumbani na ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Another dangerous option has emerged in the Manchester City attack
-
Omar Marmoush has been scoring goals since returning from AFCON. He hit the
back of the net in Manchester City’s recent win over Wolverhampton
Wanderers at...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment