![]() |
| Mshambuliaji wa Azam Veterans, Philipo Alando akimtoka beki wa Tabata Veterans |
![]() |
| Mshambuliaji wa Azam Veterans, Abdulkarim Amin 'Popat' akiwapangua mabeki wa Tabata Veterans kabla ya shuti lake kugonga mwamba |
![]() |
| Mfungaji wa bao pekee la Azam Veterans, Mbaraka Shaaban (kulia) akishangilia na Salim Aziz 'Riyad Mahrez' na Philipo Alando (kushoto) |
![]() |
| Kikosi cha Azam Veterans kilichopoteza mechi usiku wa Jumanne |
![]() |
| Mbaraka Shaaban akiambaa na mpira, huku Karim Popat akionekana kujiweka tayari kupokea pasi |
![]() |
| Mkuu wa benchi la Ufundi, Karim Mapesa (wa pili kushoto) akipanga kikosi. Kulia ni kipa wa timu hiyo, Sameer Muchacho ambaye kwa sasa yuko nje kwa maumivu ya bega |
![]() |
| Mchezaji mwingine majeruhi wa Azam Veterans, Omar Ghosh alikuwepo kushuhudia jahazi la timu yake likizama |
![]() |
| Mkuu wa benchi la Ufundi, Karim Mapesa (kulia) akiwa na mchezaji mwingine majeruhi, Jeff Leah (kushoto) |
![]() |
| Kocha Iddi Nassor 'Cheche' akiwapa mipango wachezaji wakati wa mapumziko |












.png)
0 comments:
Post a Comment