• HABARI MPYA

    Sunday, March 20, 2016

    ILIKUWA YANGA NZURI, LAKINI KIBONDE

    Kikosi cha Yanga kilichosukwa vizuri mwaka 1994, kutoka kushoto waliosimama ni Salum Kabunda 'Ninja', Constantine Kimanda, Steven Casmir Nemes, Kenneth Mkapa na Suleiman Mkati. Waliochuchumaa kutoka kushoto ni Nico Bambaga (marehemu), Sekilojo Chambua, Edibily Lunyamila, James Tungaraza 'Boli Zozo' (marehemu) na Said Nassor Mwamba 'Kizota' (marehemu). Yanga hii ilifungwa 4-1 na watani, SImba na mwisho wa msimu wachezaji karibu wote wakafukuzwa, timu ikaundwa upya kwa kupandisha wachezaji wa timu B, maarufu kama B;ack Star walioandaliwa na kocha Tambwe Leya (sasa marehemu) na kuibua nyota walioiwika baadaye wakiwemo Nonda Shabani aliyecheza hadi Ulaya 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ILIKUWA YANGA NZURI, LAKINI KIBONDE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top