Kikosi cha Yanga kilichosukwa vizuri mwaka 1994, kutoka kushoto waliosimama ni Salum Kabunda 'Ninja', Constantine Kimanda, Steven Casmir Nemes, Kenneth Mkapa na Suleiman Mkati. Waliochuchumaa kutoka kushoto ni Nico Bambaga (marehemu), Sekilojo Chambua, Edibily Lunyamila, James Tungaraza 'Boli Zozo' (marehemu) na Said Nassor Mwamba 'Kizota' (marehemu). Yanga hii ilifungwa 4-1 na watani, SImba na mwisho wa msimu wachezaji karibu wote wakafukuzwa, timu ikaundwa upya kwa kupandisha wachezaji wa timu B, maarufu kama B;ack Star walioandaliwa na kocha Tambwe Leya (sasa marehemu) na kuibua nyota walioiwika baadaye wakiwemo Nonda Shabani aliyecheza hadi Ulaya
Katie Price declares she's 'not stupid' as she defends fourth marriage to
Lee Andrews
-
The glamour model has addressed criticism of her whirlwind marriage to
businessman Lee Andrews.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment