Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akimng'ata kiungo wa Everton, Gareth Barry jana Uwanja wa Goodison Park wakati wa mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England baina ya timu hizo. Everton ilishinda 2-0 mabao ya Romelu Lukaku yote. Costa alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuzinguana na kiungo huyo na pia inasemekana aliwaonyesha ishara mbaya mashabiki wa Everton jukwaani. Mwaka 2011, Luis Suarez alisimamishwa kwa kosa kama hilo ugenini kwa Fulham na amekwishafungiwa mara tatu maishani mwake kwa kung'ata wenzake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former England rugby captain and World Cup winner Phil Vickery is declared
BANKRUPT as documents show he owes 'hundreds of thousands of pounds'
-
The Office of the Adjudicator granted Phil Vickery's request to be made
bankrupt on February 21 and on or before that date he stood down from at
least four...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment