Kapombe akishangilia baada ya kufunga leo |
Shukrani kwake, mfungaji wa bao hilo pekee, beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Shomary Salum Kapombe kipindi cha pili baada ya dakika 45 ngumu za kipindi cha kwanza.
Kapombe alifunga bao hilo dakika ya 64, akimalizia krosi ya Nahodha John Raphael Bocco aliyeingia kutokea benchi kipindi cha pili.
Azam FC sasa inafikisha pointi 50 sawa na mabingwa watetezi, Yanga SC baada ya timu zote kucheza mechi 21, zikiwa nyuma ya vinara, Simba SC wenye pointi 54 za mechi 23.
Wachezaji wa Azam FC wakiwa wamemzingira Kapombe kumpongeza baada ya kuifungia timu yake bao pekee |
Stand United: Frank Muwenge, Nassor Said ‘Chollo’, Suleiman Mrisho, Revocatus Richard, Assouman N'guessang, Jocob Masawe, Pastory Athanas, Amri Kiemba, Frank Hamis, Suleiman Kassim ‘Selembe’/Salum Kamana dk80 na Haruna Chanongo/Vitaris Mayanga dk68.
0 comments:
Post a Comment