Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud (katikati) na Mesut Ozil (kushoto) wakiwa wanyonge wakati wa kuanzisha mchezo baada ya kufungwa bao dhidi ya Watford katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London wakilala 2-1 na kutolewa. Mabao ya Watford yamefungwa na Odion Ighalo na Adlene Guedioura, wakati la Arsenal waliokuwa wanashikilia Kombe la FA limefungwa na Danny Welbeck PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment