Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud (katikati) na Mesut Ozil (kushoto) wakiwa wanyonge wakati wa kuanzisha mchezo baada ya kufungwa bao dhidi ya Watford katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London wakilala 2-1 na kutolewa. Mabao ya Watford yamefungwa na Odion Ighalo na Adlene Guedioura, wakati la Arsenal waliokuwa wanashikilia Kombe la FA limefungwa na Danny Welbeck PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Team GB Winter Olympics gold medal favourite's hopes hang by a thread as
he's told skeleton helmet is ILLEGAL
-
The decision, which was passed down by the International Bobsleigh and
Skeleton Federation on January 29, could have huge ramifications for both
Weston and...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment