• HABARI MPYA

    Sunday, March 13, 2016

    ARSENAL WAVULIWA UBINGWA KOMBE LA FA, WAPIGWA 2-1 NA WATFORD EMIRATES

    Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud (katikati) na Mesut Ozil (kushoto) wakiwa wanyonge wakati wa kuanzisha mchezo baada ya kufungwa bao dhidi ya Watford katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London wakilala 2-1 na kutolewa. Mabao ya Watford yamefungwa na Odion Ighalo na Adlene Guedioura, wakati la Arsenal waliokuwa wanashikilia Kombe la FA limefungwa na Danny Welbeck PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL WAVULIWA UBINGWA KOMBE LA FA, WAPIGWA 2-1 NA WATFORD EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top