• HABARI MPYA

    Thursday, March 17, 2016

    APR WALIVYOWASILI KINYONGE DAR

    Wachezaji wa APR ya Rwanda wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji Yanga Jumamosi
    Nyuso za wachezaji wa APR zilionekana zimebeba unyonge wakati wanawasili
    Wachezaji wa APR na viongozi wao wakipanda basi. Ikumbukwe APR ilifungwa 2-1 na Yanga Jumamosi iliyopita mjini Kigali
    Wachezaji wa APR wakijadiliana wakati wanatembea kuelekea kwenye basi lililokwenda kuwapokea
    APR wanatakiwa kushinda 2-0 ili kusonga mbele Ligi ya Mabingwa Afrika

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: APR WALIVYOWASILI KINYONGE DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top