Nyuso za wachezaji wa APR zilionekana zimebeba unyonge wakati wanawasili |
Wachezaji wa APR na viongozi wao wakipanda basi. Ikumbukwe APR ilifungwa 2-1 na Yanga Jumamosi iliyopita mjini Kigali |
Wachezaji wa APR wakijadiliana wakati wanatembea kuelekea kwenye basi lililokwenda kuwapokea |
APR wanatakiwa kushinda 2-0 ili kusonga mbele Ligi ya Mabingwa Afrika |
0 comments:
Post a Comment