Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu hiyo katika sare ya 1-1 na Atletco Madrid mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon. Bao la Atletico lilifungwa na Luciano Vietto katika mchezo huo, ambao kipa wa Real, Keylor Navas alicheza mkwaju wa penalti wa Antoine Griezmann PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alonso to stay at Leverkusen amid Liverpool interest
-
Xabi Alonso announces he will remain as manager of Bayer Leverkusen beyond
this summer despite interest from Liverpool and Bayern Munich.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment