Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia timu yaKe mabao yote matatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Elbar mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Bao la Elber lilifungwa na Borja Baston PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool have 'set their sights on the new Mohamed Salah'... with the
Egyptian's future uncertain amid interest from Saudi Arabia
-
There remains uncertainty over Salah's future at Anfield, with the winger
having one year left on his contract and talks over an extension yet to
take place.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment