• HABARI MPYA

    Thursday, October 22, 2015

    SIMBA SC NA PRISONS KATIKA PICHA JANA UWANJA WA SOKOINE

    Mshambuliaji Msenegali wa Simba SC, Pape Abdoulaye N'daw (kushoto) akimgeuza beki wa Prisons FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacon Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Prisons ilishinda 1-0
    Pape N'daw akigombea mpira wa juu na wachezaji wa Prisons
    Kiungo wa Simba SC, Peter Mwalyanzi akimtoka beki wa Prisons
    Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akimtoka beki wa Prisons
    Winga wa mkopo Simba SC kutoka Azam FC, Joseph Kimwaga (kushoto) akitafuta maarifa ya kumtoka beki wa Prisons
    Pape N'daw (kulia) akimtoka beki wa Prisons
    Kikosi cha Simba SC kilichoanza jana dhidi ya Prisons

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA PRISONS KATIKA PICHA JANA UWANJA WA SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top