• HABARI MPYA

    Friday, October 30, 2015

    AZAM FC NA JKT RUVU KATIKA PICHA JANA KARUME

    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa JKT Ruvu, Renatus Morris katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 4-2

    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akipambana na kiungo wa JKT Ruvu, Hamisi Shengo

    Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbangu akipambana na beki wa JKT Ruvu, Renatus Morris 

    Winga wa Azam FC, Farid Mussa (kulia) akimtoka winga wa JKT Ruvu, Emmanuel Pius

    Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Herman Tchetche akimtoka kiungo wa JKT Ruvu, Hamisi Shengo


    Kipa wa Azam FC, Aishi Manula akidaka shuti la ana kwa ana la Emmanuel Pius wa JKT Ruvu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA JKT RUVU KATIKA PICHA JANA KARUME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top