• HABARI MPYA

    Monday, October 19, 2015

    KIKAO CHA KAMATI YA TAIFA STARS KATIKA PICHA USIKU HUU

    Mjumbe wa Kamati ya timu ya soka ya taifa ya Tanznaia, Taifa Stars Mussa Katabaro akichangia mawazo yake katika kikao cha Kamati hiyo usiku wa Jumapili hoteli ya Serena mjini Dar es Salaam.
    Mwenyekiti wa Kamati, Farough Baghozah (kulia), akiwa na Makamu wake, Michael Wambura (kushoto)

    Kutoka kulia Mussa Katabaro, Philemon Ntahilaja na Isaac Chanji
    Kutoka kulia Eliud Mvella, Salim Abdallah, Maulid Kitenge na Wakili Imani Madega
    Wajumbe wameizunguka meza
    Juma Pinto kulia na Mohammed Nassor kushoto
     Kulia ni Baraka Kizuguto na kushoto Ahmed Iddi Mgoyi
    Kulia Katibu wa Kamati, Teddy Mapunda na kushoto Mwenyekiti Farough Bagozah

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKAO CHA KAMATI YA TAIFA STARS KATIKA PICHA USIKU HUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top