Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro (kulia) akimtia tobo Sergi Gomez wa Celta Vigo katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Balaidos. Real imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ronaldo dakika ya nane, Danilo Luiz da Silva dakika ya 23 na Marcelo Vieira Da Silva Junior dakika ya 90+5, wakati la wenyeji lilifungwa na Manuel Agudo Duran dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Malen discusses his record-breaking numbers: “I can play my best football
here.”
-
Donyell Malen once again saves Roma as he helped them complete an
incredible comeback against Parma in added time.The Dutchman spoke to Sky
Sport at the en...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment