Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro (kulia) akimtia tobo Sergi Gomez wa Celta Vigo katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Balaidos. Real imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ronaldo dakika ya nane, Danilo Luiz da Silva dakika ya 23 na Marcelo Vieira Da Silva Junior dakika ya 90+5, wakati la wenyeji lilifungwa na Manuel Agudo Duran dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment