Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro (kulia) akimtia tobo Sergi Gomez wa Celta Vigo katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Balaidos. Real imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ronaldo dakika ya nane, Danilo Luiz da Silva dakika ya 23 na Marcelo Vieira Da Silva Junior dakika ya 90+5, wakati la wenyeji lilifungwa na Manuel Agudo Duran dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis superstar Rafael Nadal was beaten in the greatest Australian Open
final of all time by Novak Djokovic. Here is why he WON'T be supporting his
old rival against Carlos Alcaraz
-
Rafael Nadalhas stared over the net and witnessed the greatness of Novak
Djokovicfirst hand, but he still can't bring himself to support him in the
2026 Au...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment