Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mathew Cudjoe wins Scottish Championship with Dundee United to seal Premier
League return
-
Matthew Cudjoe and his Dundee United side have clinched the Scottish
Championship title with one match remaining, thereby securing automatic
promotion to t...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment