• HABARI MPYA

    Saturday, October 31, 2015

    RONALDO APIGA 'BONGE LA BAO' REAL MADRID YASHINDA 3-1 LA LIGA

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO APIGA 'BONGE LA BAO' REAL MADRID YASHINDA 3-1 LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top