Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MTN MoMoPay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment