• HABARI MPYA

    Sunday, October 18, 2015

    UGANDA YATANGULIZA MGUU MMOJA CHAN YA RWANDA, YAICHAPA SUDAN 2-0

    Uganda imeanza vizuri hatua ya mwisho ya mchujo wa kufuzu Michano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya kuifunga mabap 2-0 Sudan jana Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala.
    Shukrani kwao wafungaji wa mabao hayo, Frank Kalanda na Nahodha Farouk Miya na sasa The Cranes itahitaji sare au kufungwa si zaisi ya 1-0 katika mchezo wa marudiano ili kufuzu CHAN ya 2016 nchini Rwanda.  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UGANDA YATANGULIZA MGUU MMOJA CHAN YA RWANDA, YAICHAPA SUDAN 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top