Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Messe, Konzerte und Fußball: Frühzeitig anreisen zum Leverkusen-Spiel
-
Am Sonntag trifft Borussia Dortmund im SIGNAL IDUNA PARK auf Bayer
Leverkusen (Anstoß 17:30 Uhr). Aufgrund mehrerer Veranstaltungen in den
Westfalenhallen ...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment