Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MTN FA Cup: Defending champions Dreams FC set to take on Soccer
Intellectuals in quarterfinals
-
Defending champions Dreams FC will enter the quarterfinals with optimism as
they have been drawn to face Soccer Intellectuals in this season's MTN FA
Cup.T...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment