Mshambuliaji Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza 3-2 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Welbeck amefunga mabao mawili leo, la kwanza dakika ya 38 kufuatia Pierre-Emerick Aubameyang kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 28, wakati mabao ya Southampton yamefungwa na Shane Long dakika ya 17 na Charlie Austin dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mali's government moves to impose fuel rationing as al-Qaida-linked attacks
cut off supplies
-
LAGOS, Nigeria (AP) — Mali’s government has moved to impose fuel rationing
to counter widespread shortages caused by al-Qaida-linked groups operating
in th...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment