Mshambuliaji Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza 3-2 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Welbeck amefunga mabao mawili leo, la kwanza dakika ya 38 kufuatia Pierre-Emerick Aubameyang kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 28, wakati mabao ya Southampton yamefungwa na Shane Long dakika ya 17 na Charlie Austin dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brandon Aiyuk on 49ers Contract Talks, Trade Rumors: 'Trying to Get What I
Deserve'
-
Brandon Aiyuk is not making it a secret that he wants to get paid this
offseason, whether it's from the San Francisco 49ers or another team.
Appearing on the…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment