• HABARI MPYA

    Sunday, April 08, 2018

    RONALDO AFUNGA BAO ZURI, LAKINI GRIEZMANN AWACHOMOLEA

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Real Madrid dakika ya 53 katika sare ya 1-1 na Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga leo Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la Atletico limefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA BAO ZURI, LAKINI GRIEZMANN AWACHOMOLEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top