Mshambuliaji Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa amebebwa na Marko Arnautovic wakati wakishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao la kusawazisha dakika ya 73 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesar Azpilicueta dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sadiq Khan slams critics 'painting dystopian picture of London as fallen
city' as he defends immigration
-
In a speech at London’s Guildhall, Sadiq Khan said people should ‘not be
afraid to highlight the enormous benefits of immigration’
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment