Mshambuliaji Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa amebebwa na Marko Arnautovic wakati wakishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao la kusawazisha dakika ya 73 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesar Azpilicueta dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Garnacho sorry for liking critical posts - Ten Hag
-
Manchester United manager Erik Ten Hag says that Alejandro Garnacho has
apologised for liking critical social media posts.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment