• HABARI MPYA

    Wednesday, April 04, 2018

    RIBERY ASETI ZOTE MBILI BAYERN MUNICH YAICHAPA SEVILLA 2-1

    Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Frank Ribery (kushoto) baada ya krosi yake kumbabatiza Jesus Navas na kujifunga kuwapatia wapinzani bao la kusawazisha dakika ya 37 kufuatia Pablo Sarabia kuanza kuifungia Sevilla dakika ya 32 Uwanja wa Ramon Pizjuan katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Thiago Alcântara aliifungia Bayern Munich bao la pili na la ushindi dakika ya 68 akimalizia pasi ya Ribery ikiwalaza Sevilla 2-1 nchini Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RIBERY ASETI ZOTE MBILI BAYERN MUNICH YAICHAPA SEVILLA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top