Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Frank Ribery (kushoto) baada ya krosi yake kumbabatiza Jesus Navas na kujifunga kuwapatia wapinzani bao la kusawazisha dakika ya 37 kufuatia Pablo Sarabia kuanza kuifungia Sevilla dakika ya 32 Uwanja wa Ramon Pizjuan katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Thiago Alcântara aliifungia Bayern Munich bao la pili na la ushindi dakika ya 68 akimalizia pasi ya Ribery ikiwalaza Sevilla 2-1 nchini Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thunder's Chet Holmgren Hypes Shai Gilgeous-Alexander as NBA MVP After
Playoff Win
-
Chet Holmgren let the world know. After the Oklahoma City Thunder jumped
out to a 2-0 series lead over the New Orleans Pelicans in their first-round
matchup…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment