Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Frank Ribery (kushoto) baada ya krosi yake kumbabatiza Jesus Navas na kujifunga kuwapatia wapinzani bao la kusawazisha dakika ya 37 kufuatia Pablo Sarabia kuanza kuifungia Sevilla dakika ya 32 Uwanja wa Ramon Pizjuan katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Thiago Alcântara aliifungia Bayern Munich bao la pili na la ushindi dakika ya 68 akimalizia pasi ya Ribery ikiwalaza Sevilla 2-1 nchini Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Brooklyn Beckham failed at Arsenal and set football's biggest nepo baby
on path to marry a billionaire and split with his parents
-
Anxiety was highlighted as one of the reasons Brooklyn had opted to step
away from following in his father's footsteps and pursuing a career as a
professio...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment