Dimitri Payet akishangilia baada ya kuifungia bao zuri Olympique Marseille dakika ya 60 katika ushindi wa 5-2 dhidi ya RB Leipzig ya Ujerumani usiku wa Alhamisi kwenye mchezo wa marudiano wa UEFA Europa League Uwanja wa Velodrome mjini Marseille, Ufaransa na kwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-3 baada ya kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham agree to sell wantaway Lucas Paqueta to Flamengo in £36m deal -
WITHOUT taking him back on loan for the rest of the season
-
The clubs are ironing out payment structure on the £36million transfer and
the deal will be formalised in writing in the next 24 hours.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment