Fernando Torres akiwa chini baada ya kuingia uwanjani jana kuchukua nafasi ya Diego Costa, timu yao Atletico Madrid ikifungwa 1-0 na wenyeji, Sporting Lisbon, bao pekee la Fredy Montero dakika ya 28 Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali UEFA Europa League na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa wa 2-1 kufuatia kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani, Hispania. Atletico inaungana na Arsenal iliyoitoa CSKA Moscow, Salzburg iliyoitoa Lazio na Olympique Marseille iliyoitoa RB Leipzig PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's critics are living in fantasy land: Here's why there's no chance
this group of players will 'bottle' the title, writes OLIVER HOLT
-
Many appear to have already convinced themselves that their run of three
league games without a win is all the proof they need: Arsenal are going to
bottle...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment