Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 23 kwa penalti na 35 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya CSKA Moscow kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Aaron Ramsey (kulia) dakika ya tisa na 28, wakati la CSKA Moscow limefungwa na Aleksandr Golovin dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Feyenoord ready to conclude deal for Arne Slot to become Liverpool's new
manager - which could cost the Reds £13m and be finalised THIS weekend
-
SAMI MOKBEL: Advanced talks between the two clubs will continue on Friday
with the expectancy at the Dutch club that those discussions will reach a
positiv...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment