Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 23 kwa penalti na 35 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya CSKA Moscow kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Aaron Ramsey (kulia) dakika ya tisa na 28, wakati la CSKA Moscow limefungwa na Aleksandr Golovin dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton legend reveals he was kidnapped and held at knifepoint for a
six-figure ransom after being lured to Morocco for fake job in Saudi Arabia
-
Everton legend Adrian Heath admits he is lucky to be alive after being
kidnapped and threatened with a knife after being lured to Morocco to
interview for ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment