Nyota wa Atletico Madrid, Jorge Resurreccion Merodio maarufu kwa jina la utani, Koke akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sporting Lisbon ya Ureno kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England spun out by Sri Lanka in first ODI
-
England change formats and opponents, yet still follow their dismal Ashes
campaign with defeat by Sri Lanka in the first one-day international in
Colombo.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment