Nyota wa Atletico Madrid, Jorge Resurreccion Merodio maarufu kwa jina la utani, Koke akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sporting Lisbon ya Ureno kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U18s preview | Arsenal v Aston Villa
-
Everything you need to know as we host Aston Villa in our penultimate home
game of the season
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment