Gerard Pique akifurahia baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu dakika ya 59 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Roma kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Daniele De Rossi dakika ya 38 aliyejifunga baada ya jazi nzuri ya Lionel Messi, Kostas Manolas aliyejifunga pia dakika ya 55 baada ya kazi nzuri ya Samuel Umtiti na Luis Suarez dakika ya 87. Bao la Roma lilifungwa na Edin Dzeko dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders coach Ricky Stuart reveals whether recent Des Hasler blue outside
the dressing room in Canberra ruined a 35-year friendship
-
Raiders coach Ricky Stuart has addressed suggestions of a feud with Titans
counterpart Des Hasler. It follows ugly scenes outside the dressing rooms
in Can...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment