Gerard Pique akifurahia baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu dakika ya 59 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Roma kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Daniele De Rossi dakika ya 38 aliyejifunga baada ya jazi nzuri ya Lionel Messi, Kostas Manolas aliyejifunga pia dakika ya 55 baada ya kazi nzuri ya Samuel Umtiti na Luis Suarez dakika ya 87. Bao la Roma lilifungwa na Edin Dzeko dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Djokovic cruises into Australian Open third round
-
Novak Djokovic will need to conserve energy if he is to make history at the
Australian Open - and he has not dropped a set in the first two rounds.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment