Mohamed Salah akiteleza chini kwa furaha kushangilia na wachezaji wenzake, Roberto Firmino aliyempa pasi na Andy Robertson baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 12 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 20 pasi ya James Milner na Sadio Mane dakika ya 31 pasi ya Salah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bloodbath in New York as John Harbaugh begins Giants clear-out days after
taking over as head coach
-
He joined the Giants back in 1999 and was a key part of the front office
when the team won two Super Bowls.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment