Mohamed Salah akiteleza chini kwa furaha kushangilia na wachezaji wenzake, Roberto Firmino aliyempa pasi na Andy Robertson baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 12 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 20 pasi ya James Milner na Sadio Mane dakika ya 31 pasi ya Salah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jackson Topine: Footy star 'has a secret weapon' in $4million lawsuit
against his club for allegedly making 35 of his teammates assault him until
he couldn't stand
-
News of the bombshell legal action sent shockwaves through the NRL on
Wednesday - and now the man at the centre of the storm, Jackson Topine,
reportedly ha...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment