• HABARI MPYA

    Sunday, April 01, 2018

    AUBAMEYANG AFUNGA MAWILI ARSENAL YASHINDA 3-0 ENGLAND

    Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 75 kwa penalti na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette kwa penalti pia dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AUBAMEYANG AFUNGA MAWILI ARSENAL YASHINDA 3-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top