Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 75 kwa penalti na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette kwa penalti pia dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League forced to move clash between Tottenham and Nottingham Forest
at 10 DAYS' notice due to train and tube strikes... as next weekend's game
is brought forward 24 hours to unusual kick-off time
-
In a statement, they said: 'The Premier League apologises unreservedly to
supporters of both Clubs, and all those affected, for the inconvenience and
disru...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment