Kikosi cha Arsenal kabla ya mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Europa League dhidi ya CSKA Moscow uliomalizika kwa sare ya 2-2 usiku wa Alhamisi Uwanja wa VEB Arena mjini Moscow nchini Urusi. CSKA Moscow ilitangulia kwa mabao ya Fyodor Chalov dakika ya 39 na Kirill Nababkin dakika ya 50, kabla ya Danny Welbeck na Aaron Ramsey kuisawazishia Arsenal dakika za 75 na 90 na ushei na sasa timu ya Wenger inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 6-3 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Bull mastermind is 'set to leave' after Christian Horner sexting
scandal engulfed the team - and 'could join Lewis Hamilton at Ferrari next
season'
-
A Red Bull supremo is reportedly set to leave the team and will announce
his decision soon. He has has informed Red Bull that he wants to move on.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment