Neymar akiruka juu kushangilia baada ya kufunga hat trick ya kwanza Ufaransa tangu ajiunge na Paris Saint-Germain kwa dau la rekodi ya dunia, Pauni Milioni 198 kutoka Barcelona kufuatia jana kufunga mabao manne dakika za 42, 57, 73 na 83 kwa penalti katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Dijon kwenye mchezo wa Ligue 1 Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Angel Di Maria mawili dakika za nne na 15, Edinson Cavani dakika ya 21 na Kylian Mbappe dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Not since Diego Maradona have Argentina had a pantomime villain to match
wind-up merchant Emiliano Martinez... but his £16m move to Aston Villa is
one of Arsenal's daftest decisions this century
-
TOM COLLOMOSSE: The Aston Villa goalkeeper is the biggest wind-up merchant
in world football and is disliked in France in much the same way Maradona
was in...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment