Mshambuliaji wa Arsenal, Mfaransa Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la nne dakika ya 22 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya sita, Alex Iwobi dakika ya 10 na Laurent Koscielny dakika ya 13, wakati la kufutia machozi la Palace lilifungwa na Luka Milovojevic dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 1
-
Round 1 of the 2024 NFL draft is complete. While the opening night saw many
of the top prospects come off the board, it's important to remember that
the dr...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment