Mshambuliaji wa Arsenal, Mfaransa Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la nne dakika ya 22 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya sita, Alex Iwobi dakika ya 10 na Laurent Koscielny dakika ya 13, wakati la kufutia machozi la Palace lilifungwa na Luka Milovojevic dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Israeli strikes kill 14 in Lebanon as Israel warns residents to leave towns
beyond 'buffer zone'
-
April 26 () - Israeli strikes killed 14 people and wounded 37 on Sunday,
Lebanon's health ministry said, as the Israeli military warned residents to
leave ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment