• HABARI MPYA

    Saturday, January 20, 2018

    MARTIAL AFUNGA BAO PEKEE MAN UNITED YAIFUMUA 1-0 BURNLEY

    Mshambuliaji Mfaransa, Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester United dakika ya 54 ikiilaza 1-0 Burnley leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor mjini Burnley PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MARTIAL AFUNGA BAO PEKEE MAN UNITED YAIFUMUA 1-0 BURNLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top