• HABARI MPYA

    Saturday, January 20, 2018

    HAZARD APIGA MBILI CHELSEA YAIFUMUA 4-0 BRIGHTON

    Eden Hazard akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Chelsea dakika za tatu na 77 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa AMEX leo. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Willian dakika ya sita na Victor Moses dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAZARD APIGA MBILI CHELSEA YAIFUMUA 4-0 BRIGHTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top