Jay Rodriguez akifunga kwa penalti dakika ya 89 kuisawazishia West Bromwich Albion baada ya Calum Chambers kuunawa mpira katika sare ya 1-1 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns. Arsenal ilitangulia kupata bao dakika ya 83 wakati shuti la mpira wa adhabu la Alexis Sanchez lilipombabatiza James McClean akajifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAYER RATINGS: Phil Foden rewarded Pep Guardiola for granting him freedom
and Kyle Walker was relentless, but which Brighton star learnt brutal
lesson and earned 4/10?
-
PLAYER RATINGS: Mail Sport's Kieran Gill rates the players as Manchester
City cruised to a 4-0 win over Brighton as the reigning champions closed
the gap t...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment