• HABARI MPYA

    Monday, December 18, 2017

    MO FARAH AMBWAGA ANTHONY JOSHUA KUBEBA TUZO YA BBC 2017

    Mwanariadha Mo Farah akiwa ameshika tuzo yake ya Mwanamichezo Mwenye Haiba Nzuri wa Shirika la Utangazaji Uingereza (BBC) mwaka 2017 bada ya kukabidhiwa jana kufuatia kuwaangusha mwendesha baiskeli, Jonathan Rea na mwanariada mwenzake, Jonnie Peacock na bondia Anthony Joshua 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MO FARAH AMBWAGA ANTHONY JOSHUA KUBEBA TUZO YA BBC 2017 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top