Beki wa Chelsea, Marcos Alonso akiwapigia saluti mashabiki Uwanja wa Stamford Bridge baada ya kufunga bao la pili dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Alvaro Morata dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bukayo Saka launches his own Nando's sauce! Arsenal's star man brings out
the 'PERi-PERi Saka Sauce' with his favourite flavours as he gears up for
England international duty
-
The Arsenal star has teamed up with the restaurant chain to produce the
'PERi-PERi Saka Sauce' with his most-loved flavours.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment