• HABARI MPYA

    Thursday, December 28, 2017

    STERLING AFUNGA MAN CITY YASHINDA MECHI YA 18 MFULULIZO

    Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee la ushindi dakika ya 30 akimalizia pasi ya Kevin De Bruyne wakiichapa 1-0 Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St. James' Park na huo unakuwa mchezo wa 18 mfululizo timu ya Pep Guardiola inashinda katika Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STERLING AFUNGA MAN CITY YASHINDA MECHI YA 18 MFULULIZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top