• HABARI MPYA

    Sunday, December 31, 2017

    ATHUMANI MAMBOSASA ENZI ZAKE ALIKUWA KIPA HODARI NA MAHIRI

    Kipa wa Simba, Athumani Mambosasa (sasa marehemu) akiruka kudaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10, mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Katikati ni beki wa Simba, Jumanne Hassan Masimenti (marehemu pia) akiwa tayari kutoa msaada. Yanga ilitoka nyuma kwa bao la Adam Sabu dakika ya 16 na kushinda 2-1 kwa mabao ya Gibson Sembuli (marehemu pia) dakika ya 87 na Sunday Manara dakika ya 97 katika mchezo uliodumu kwa dakika 120.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ATHUMANI MAMBOSASA ENZI ZAKE ALIKUWA KIPA HODARI NA MAHIRI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top