Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kushoto) akitazama simu yake pembeni ya makamu wake, Michael Wambura wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya Habari leo hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam
Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau (kushoto) akifuatilia mkutano. Kulia Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA)
Wallace Karia (kulia) akiwa na Ofisa wa Macron wakati wa kusaini mkataba wa udhamini wa jezi za timu za taifa
Kulikuwa na sala maalum ya kumuombea kocha wa zamani wa timu ya taifa, Joel Bendera aliyefariki dunia mapema mwezi huu
Waandishi wa Habari wakifuatilia jambo katika mkutano huo
Wahariri wa Vyombo vya Habari katika picha ya pamoja na viongozi wa TFF
Labuschagne takes brilliant diving catch as England all out for 334
-
Marnus Labuschagne dives at full stretch to take a brilliant catch in the
deep from Jofra Archer, as England are bowled out for 334 runs on day two
of the ...
27 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment