• HABARI MPYA

    Wednesday, December 27, 2017

    MKUTANO WA RAIS WA TFF NA WAHARIRI LEO SEASCAPE

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kushoto) akitazama simu yake pembeni ya makamu wake, Michael Wambura wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya Habari leo hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam 
    Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau (kushoto) akifuatilia mkutano. Kulia Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA)
    Wallace Karia (kulia) akiwa na Ofisa wa Macron wakati wa kusaini mkataba wa udhamini wa jezi za timu za taifa 
    Kulikuwa na sala maalum ya kumuombea kocha wa zamani wa timu ya taifa, Joel Bendera aliyefariki dunia mapema mwezi huu
    Waandishi wa Habari wakifuatilia jambo katika mkutano huo 
    Wahariri wa Vyombo vya Habari katika picha ya pamoja na viongozi wa TFF
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MKUTANO WA RAIS WA TFF NA WAHARIRI LEO SEASCAPE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top