Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kushoto) akitazama simu yake pembeni ya makamu wake, Michael Wambura wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya Habari leo hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam
Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau (kushoto) akifuatilia mkutano. Kulia Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA)
Wallace Karia (kulia) akiwa na Ofisa wa Macron wakati wa kusaini mkataba wa udhamini wa jezi za timu za taifa
Kulikuwa na sala maalum ya kumuombea kocha wa zamani wa timu ya taifa, Joel Bendera aliyefariki dunia mapema mwezi huu
Waandishi wa Habari wakifuatilia jambo katika mkutano huo
Wahariri wa Vyombo vya Habari katika picha ya pamoja na viongozi wa TFF
Bukayo Saka launches his own Nando's sauce! Arsenal's star man brings out
the 'PERi-PERi Saka Sauce' with his favourite flavours as he gears up for
England international duty
-
The Arsenal star has teamed up with the restaurant chain to produce the
'PERi-PERi Saka Sauce' with his most-loved flavours.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment