Lionel Messi akipiga ngumi hewani Uwanja wa Santiago Bernabeu baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 64 kwa penalti kufuatia Dani Carjaval kuuzuia kwa mkono mpira uliopigwa na Paulinho kwenye boksi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Real Madrid kwenye mchezo wa La liga leo. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Luis Suarez dakika ya 54 na Aleix Vidal dakika ya 90 na ushei. Real Madrid ilimaliza pungufu baada ya Dani Carjaval kutolewa kadi nyekundu dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment