Mshambuliaji Alvaro Morata akiwa ameweka mpira tumboni ndani ya jezi kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Morata alifanya hivyo kwa sababu mkewe ni mja mzito, lakini akaonyeshwa kadi ya njano na ataukosa mchezo ujao dhidi ya Everton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Labuschagne takes brilliant diving catch as England all out for 334
-
Marnus Labuschagne dives at full stretch to take a brilliant catch in the
deep from Jofra Archer, as England are bowled out for 334 runs on day two
of the ...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment