• HABARI MPYA

    Wednesday, December 27, 2017

    NGASSA ANAVYOFURAHIA MAISHA MTWARA NA NDANDA FC

    Kiungo mpya mshambuliaji wa Ndanda FC, Mrisho Khalfan Ngassa (kushoto) akifurahia na wachezaji wenzake wa timu hiyo katika ufukwe wa Bahari ya Hindi juzi baada ya mazoezi ya kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Simba SC Jumamosi Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGASSA ANAVYOFURAHIA MAISHA MTWARA NA NDANDA FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top