• HABARI MPYA

    Saturday, December 23, 2017

    EVERTON YAIZUIA CHELSEA GOODISON PARK, ZATOKA SARE 0-0

    Kiungo Mbrazil wa Chelsea, Willian akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Everton huku Morgan Schneiderlin (kushoto) akiteleza kumpokonya mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool timu hizo zikitoka sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EVERTON YAIZUIA CHELSEA GOODISON PARK, ZATOKA SARE 0-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top