• HABARI MPYA

    Saturday, December 23, 2017

    FIRMINO AINUSURU LIVERPOOL KUPIGWA NA ARSENAL, SARE 3-3

    Roberto Firmino akiifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 71 ikitoa sare ya 3-3 na wenyejin Arsenal Uwanja wa Emirates usiku wa Ijumaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Liverpool walianza vizuri na kuongoza kwa mabao 2-0 ya Philippe Coutinho dakika ya 26 na Mohamed Salah dakika ya 52, kabla ya Arsenal kutoka nyuma na kuongoza kwa 3-2 kwa mabao ya Alexis Sanchez dakika ya 53, Granit Xhaka dakika ya 56 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FIRMINO AINUSURU LIVERPOOL KUPIGWA NA ARSENAL, SARE 3-3 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top