Roberto Firmino akiifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 71 ikitoa sare ya 3-3 na wenyejin Arsenal Uwanja wa Emirates usiku wa Ijumaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Liverpool walianza vizuri na kuongoza kwa mabao 2-0 ya Philippe Coutinho dakika ya 26 na Mohamed Salah dakika ya 52, kabla ya Arsenal kutoka nyuma na kuongoza kwa 3-2 kwa mabao ya Alexis Sanchez dakika ya 53, Granit Xhaka dakika ya 56 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana star Samuel Owusu bags brace, provides assist as Al Fayha thrash Al Drae in King Cup
-
Ghana winger Samuel Owusu scored a sensational brace and provided an assist
as Al Fahya demolished Al Drae 5-0 in the King Cup on Thursday.The
23-year-old ...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment