Kipa wa Green Warriors, Shaaban Dihile akitembea kibabe jana wakati wa mchezo wa hatua ya 64 Bora ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam dhidi ya waliokuwa mabingwa watetezi, Simba SC. Dihile alidaka kwa ustadi mkubwa ndani ya dakika 90 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 tena Simba wakisawazisha kwa penalti kipindi cha pili kabla ya Warriors ya Daraja la Pili kwenda kushinda kwa penalti 4-3 na kuwavua ubingwa Wekundu wa Msimbazi
Labuschagne takes brilliant diving catch as England all out for 334
-
Marnus Labuschagne dives at full stretch to take a brilliant catch in the
deep from Jofra Archer, as England are bowled out for 334 runs on day two
of the ...
27 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment