Kipa David De Gea akiushuhudia mpira uliopigwa na Harry Maguire ukimpita na kujaa nyavuni kuipatia Leicester City bao la kusawazisha dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida za mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya 2-2 usiku wa Jumamosi Uwanja wa king Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 27, wakati mabao ya Man United yamefungwa na Juan Mata yote dakika za 40 na 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment