Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Aguero alifunga na la tatu dakika ya 79 na kufikisha mabao 100 katika timu hiyo wakati mabao mengine yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 53 na Danilo dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment