Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne kwa penalti dakika ya 73 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Geoff Cameron katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Antonio Rudiger dakika ya tatu, Danny Drinkwater dakika ya tisa, Pedro dakika ya 23 na Davide Zappacosta dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment