Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya taifa ya visiwani humo, Zanzibar Heroes baada ya kupata nao chakula cha mchana Ijumaa kuwapongeza kwa kushika nafasi ya pili kwenye michuano ya CECAFA Challenge nchini Kenya
Rais Dk Ali Mohammed Shein akiwahutubia wachezaji wa Zanzibar Heroes
Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakijitilia chakula
Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakimskiliza Rais, Dk Ali Mohammed Shein
Cameron Bancroft to MISS Sheffield Shield final after freak biking accident
sees former Australia star sidelined for crucial game
-
The star batter fell off his bike and has been ruled out due to a head
injury, in a bitter blow for WA ahead of the final against Tasmania,
scheduled for T...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment