Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 22, 39 na 67 katika ushindi wa 5-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Southampton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Delle Alli dakika ya 49 na Son Heung-Min dakika ya 51, wakati ya Southampton yamefungwa na Sofiane Boufal dakika ya 64 na Dusan Tadic dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Labuschagne takes brilliant diving catch as England all out for 334
-
Marnus Labuschagne dives at full stretch to take a brilliant catch in the
deep from Jofra Archer, as England are bowled out for 334 runs on day two
of the ...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment