• HABARI MPYA

    Tuesday, December 26, 2017

    KANE APIGA HAT-TRICK TENA SPURS YAUA 5-2 ENGLAND

    Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 22, 39 na 67 katika ushindi wa 5-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Southampton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Delle Alli dakika ya 49 na Son Heung-Min dakika ya 51, wakati ya Southampton yamefungwa na Sofiane Boufal dakika ya 64 na Dusan Tadic dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE APIGA HAT-TRICK TENA SPURS YAUA 5-2 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top